msaada: je BSC in Human Nutrition ina soko katika ajira Tz

msaada: je BSC in Human Nutrition ina soko katika ajira Tz

Daniel Jack

New Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Habari zenu wadau
Nilikua naulizia kuhusu course ya nutrition na je ina soko tz na chuo kipi bora kwa course hiyo
Thanks in advance!
 
Yes "ina soko" if I know what you mean. Na SUA ndo mahala pake I think.
 
Yes "ina soko" if I know what you mean. Na SUA ndo mahala pake I think.

Hapo umenena mkuu, soko lake lipo sana hasa kwenye NGOs! Ila taabu yangu na elimu yetu, tunawaza kuajiriwa tu na si vinginevyo! Kwa nini mtu usitafute mawazo ya kujiajiri? Kwa mfano mimi ninayetaka kwenda kusoma Vet. ningeuliza hivi nafasi yake ya kujiajiri ikoje wadau? Humu najua watu wangeshuka si kidogo! Hii kasumba tumepandikizwa tangu huko kitaa, mwanangu soma sana uje upate kazi nzuri! JAMANI TUBADILI MTAZAMO!!
 
Hapo umenena mkuu, soko lake lipo sana hasa kwenye NGOs! Ila taabu yangu na elimu yetu, tunawaza kuajiriwa tu na si vinginevyo! Kwa nini mtu usitafute mawazo ya kujiajiri? Kwa mfano mimi ninayetaka kwenda kusoma Vet. ningeuliza hivi nafasi yake ya kujiajiri ikoje wadau? Humu najua watu wangeshuka si kidogo! Hii kasumba tumepandikizwa tangu huko kitaa, mwanangu soma sana uje upate kazi nzuri! JAMANI TUBADILI MTAZAMO!!
You are right Job K ..ninafahamu vizuri attitude za vijana wetu karibu wote amabo mfumo wa elimu yetu na mfumo mzima wa socio-economics zetu unazalisha. Ndio maana nikaandika "soko" in inverted commas. Mungu atatusaidia tutafika tu...kama sio sisi basi wajukuu zetu.
 
Last edited by a moderator:
You are right Job K ..ninafahamu vizuri attitude za vijana wetu karibu wote amabo mfumo wa elimu yetu na mfumo mzima wa socio-economics zetu unazalisha. Ndio maana nikaandika "soko" in inverted commas. Mungu atatusaidia tutafika tu...kama sio sisi basi wajukuu zetu.

Ni kweli mkuu hapo naona tuna kazi ya kufanya kwa watoto wetu! Tujitahidi kubadilisha mindsets za hawa vijana. Lakini mlolongo wa hih kitu ni mrefu sana tangu kwa walimu, maana unakuta mwalimu anaingia darasani kukata pindi anaanza kwa kuwazodoa wanafunzi, hivi na nyie mnatarajia mtakuta ajira?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom