Msaada... Je hii ni kwangu tu au kwa wanawake wote?

Msaada... Je hii ni kwangu tu au kwa wanawake wote?

Chocolate

Senior Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
117
Reaction score
48
Kila nimalizapo tendo la ndoa na mwenzi hujikuta nimepata mpasuko fulani chini kwenye mlango wa K.... na pia pembeni kwenye kuta za ndani ni kama kuna vimichubuko vidogo vidogo vingi ambapo hali hii hapo zamani sikuwahi kuiona. Je nina tatizo la kiafya au ni vipi? Angalizo: Maandalizi yanakuwepo ya kutosha tu! ninaomba msaada wenu waungwana
 
Its not normal sister. There must be a problem. I advice u to c a specialist. Love making is something to enjoy not to hurt you.
 
Angalau huyu hajasema tatizo ni la rafiki yake.
Wengine humu utawasikia '..nina rafiki yangu ana tatizo....'
 
Aisee! kamwone daktari...possibly utakuwa umepata infections..(s.t.i's)
 
Apo nyuma hukua na tatizo hili kwa huyuhuyu ulie nae au????????????
 
Maandalizi ya kiwepo as you said kuchubuka si rahisi unless mnapiga tatu kwa moja. You might not be ready psychologicaly. Alternative use lublicant
 
..SABABU ZA MPASUKO..
Kwenye uke{VIGINAL FEASURES & ABRASSION}
1>Upungufu wa Estrogen hormone.
Hormone hii inasaidia kuzalisha majimaji ya uke,kuimarisha ngozi ya uke,n.k
..SABABU ZA upungufu wa estrogen hormone..
a)mawazo na hofu,unywaji pombe kupindukia,uvutaji sigara,kutopata chakula bora,matumizi ya madawa mf:Natarelin,Tamaxifin,n.k
2>Allerge ya Kondom.
3>Vijidudu kwenye uke {Bacterial infections. Eg:Bacterial vaginitis & Candidiasis}
4>Kujamiiana bila kumuandaa mwanamke vizur.n.k
.......KINGA NA TIBA......
1>MUONE DACTARI.
Kwasababu tiba utapewa kulingana na sababu za mipasuko yako.
2>OLIVE OIL,COCONUT OIL,ALOE VERA JUICE,N.K
Paka mafuta hayo yanamsaada mkubwa ktk tatizo la mpasuko kwenye uke.
3>ANTIBIOTICS IN CASE OF BACTERIA IS A CAUSATIVE AGENT.
4>KULA CHAKULA BORA.
Hii inaimarisha uzalishaji wa estrogen hormone.
5>KUANDAANA VYEMA KABLA YA TENDO LA NDOA.
6>KUACHA UVUTAJI WA SIGARA,UNYAJI POMBE KUPINDUKIA,KUTUMIA CREAMS KWENYE UKE,n.k
7>kuepuka msongo wa mawazo wakati wa kujamiana.
....MWAMBUNGU...
 
Nenda hospitali mpenzi...................maandalizi yanaweza kuwa mazuri ila msuguano ukazidi ; hauko relaxed unapokuwa faragha au huna mucus ya kutosha?
 
Haujasema kuwa unasikia maumivu au laaa?
Sijui kama mimi ndo nakosea kuuliza!
 
unless useme na umri wako

as far as i can say yawezekana oestrogen level yako iko chini na hii ni dalili ya premature menopouse usiogope lol!
mwone daktari akusaidie. kama uko na 30+ possibly tatizo ni hili na kama ni below umri huu basi utakuwa unatumia dawa za kupanga uzazi hivyo zikakausha uke.
 
Jitazameni vizuri huenda nyumba ya kupanga,mnashea ndoo/sabuni na wapangaji wenzenu na infekshens zao bafuni zimekuathr.
 
Kila nimalizapo tendo la ndoa na mwenzi hujikuta nimepata mpasuko fulani chini kwenye mlango wa K.... na pia pembeni kwenye kuta za ndani ni kama kuna vimichubuko vidogo vidogo vingi ambapo hali hii hapo zamani sikuwahi kuiona. Je nina tatizo la kiafya au ni vipi? Angalizo: Maandalizi yanakuwepo ya kutosha tu! ninaomba msaada wenu waungwana

ONDOA nyasi mama utakuwa njema
 
Pole sana da chocolate, kutokana na kwamba hukuwa na hali hiyo kabla, huenda ni spiritual attack/evil attack/satanic attack ambayo chanzo chake ni mtu kuwa na spiritul husband/pepo mahaba. Ushauri: kama itashindikana kupata shuluhu hospitali waone watumishi wa Mungu(walokole)
 
Muone dactari lkn uwe mwngalifu manake hawa madactari wetu nao sometimes uzushi mtupu.
 
Ninawashukuru sana wana jamii wote walionipa ushauri juu ya tatizo langu. Katika hayo mliyochangia ninahisi inawezekana labda ni tatizo la upungufu wa eostrogen hormone ambalo labda limenipata kutokana na premature menopause maana nina 35+ au mawazo (stress) za misukosuko ya kimaisha. Na juu ya yote ushauri wa kumuona Daktari kwa msaada zaidi nitaufanyia kazi, Mungu awabariki! N.B. ikishindikana hospitali basi spiritual delivarance itahitajika!
 
Katika muendelezo wa haya pia nitashukuru kujua kama kuna vyakula naweza kula vitasaidia kuongeza level ya estrogen hormone au food supplements zozote.
 
Back
Top Bottom