Msaada Je inawezekana kuyatoa mabampa haya?

Msaada Je inawezekana kuyatoa mabampa haya?

Pata Pata

Member
Joined
Jun 7, 2018
Posts
11
Reaction score
5
Habari wanajamiiforums,

Nina mpango wa kuagiza toyota IPSUM toka japani na gari nimeshalichagua ila gari yenyewe imeongezewa mabampa kama mishale kwenye picha inavyoonyesha. Mapampa haya yanaifanya gari kuwa chini na yatachakaa mapema sasa nafikiria gari ikifika bongo niende kwa mafundi body wakayatoe, swali ni kuwa je hii inawezekana kufanyika? Naomba msaada wenu tafadhali
bampa Ipsum nyuma.jpg
bampa Ipsum upande.jpg
ipsum bampa mbele.jpg
 
Hiyo gari ikifika bongo uni -tag
 
Body kit ama waweza kuziita carkit,gari ikiwa japan ukiona ina carkit basi jua kwamba huwezi kuzitoa lakini kama ukiagiza gari likaja huku halina bodykit halafu ukaweka hapa nchini unaweza kutoa.
Tofauti ni kwamba za hapa nchini ni kama zinapachikwa tu kwa chini
 
unatoaje bampa za gari ya watu iko japan ....afu hizo ni kama hazitoki mkuu
 
Chagua gari ingine.

Au ilete hiyo gari bongo uje kuuza hizo bampa.
 
Body kit ama waweza kuziita carkit,gari ikiwa japan ukiona ina carkit basi jua kwamba huwezi kuzitoa lakini kama ukiagiza gari likaja huku halina bodykit halafu ukaweka hapa nchini unaweza kutoa.
Tofauti ni kwamba za hapa nchini ni kama zinapachikwa tu kwa chini
Chagua gari ingine.

Au ilete hiyo gari bongo uje kuuza hizo bampa.
unatoaje bampa za gari ya watu iko japan ....afu hizo ni kama hazitoki mkuu
Ahsanteni sana kwa ushauri wakuu je cha kufanya hapa ni kufanya mchakato huko huko japani zitolewe (namaanisha bampa zima pamoja na huo urembo waliouongeza) then ziwekwe zingine ambazo ni za kawaida halafu ndo ije bongo ingawa nitaingia extra costs ,au je naweza agiza kama ilivyo then nikaja zitolea bongo na kuweka haya mabampa ya kawaida?
 
Habari wanajamiiforums,

Nina mpango wa kuagiza toyota IPSUM toka japani na gari nimeshalichagua ila gari yenyewe imeongezewa mabampa kama mishale kwenye picha inavyoonyesha. Mapampa haya yanaifanya gari kuwa chini na yatachakaa mapema sasa nafikiria gari ikifika bongo niende kwa mafundi body wakayatoe, swali ni kuwa je hii inawezekana kufanyika? Naomba msaada wenu tafadhaliView attachment 798436 View attachment 798437 View attachment 798439
VINATOKA VIOO, ZITAKUWA HIZO. ZINATOKA TU HIZO MKUU. TUMIA GRINDA.
 
kwanini ununue gari ambayo unaona kabisa itafikia gereji kuanza kukatwa na wakati kuna magari meengi mazuri yenye kulingana bei na hilo?
 
Habari wanajamiiforums,

Nina mpango wa kuagiza toyota IPSUM toka japani na gari nimeshalichagua ila gari yenyewe imeongezewa mabampa kama mishale kwenye picha inavyoonyesha. Mapampa haya yanaifanya gari kuwa chini na yatachakaa mapema sasa nafikiria gari ikifika bongo niende kwa mafundi body wakayatoe, swali ni kuwa je hii inawezekana kufanyika? Naomba msaada wenu tafadhaliView attachment 798436 View attachment 798437 View attachment 798439
Kama umeipenda ilete,na kama unadhani ukiyatoa hataathiri muonekano wa gari na upendo wako kwa gari lako hamna tabu.Just ikija wapelekee wachina city spring garage au hata pale magomeni makanyanya kuna gereji nzuri watatoa vzr hizo hata mtu hajui.

[HASHTAG]#tii[/HASHTAG] kiu yako
 
Kama umeipenda ilete,na kama unadhani ukiyatoa hataathiri muonekano wa gari na upendo wako kwa gari lako hamna tabu.Just ikija wapelekee wachina city spring garage au hata pale magomeni makanyanya kuna gereji nzuri watatoa vzr hizo hata mtu hajui.

[HASHTAG]#tii[/HASHTAG] kiu yako
Thanks kwa ushauri, ngoja nikawaulize hao wachina kwanza, na hao wa magomeni pia kabla sijaagiza
 
Ungejua kuwa hayo mabampa unayoyakataa bongo ni dili usingelialia humu ndani. Agiza gari ije utoe upige pesa kaka hilo dili babake
 
Back
Top Bottom