Msaada...Je kesi hii ni uhaini ,uzembe au uhujumi uchumi?

Msaada...Je kesi hii ni uhaini ,uzembe au uhujumi uchumi?

ngongoti2000

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2017
Posts
2,236
Reaction score
2,142
Kwa mfano mwananchi kufanya matumizi mabaya ya rasilimali za nchi kwa mfano kupoteza au kufanya matumizi mabaya ya risasi 30 au zaidi bila manufaa, huwa ni kosa gani kisheria wakuu?
 
Back
Top Bottom