kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 456
- 833
Assalam Wana jukwaa, nauliza Kuna application ya simu inayoweza kudetect kifaa kinachorecord sauti maeneo yanayonizunguka.
Kwa mfano tupo kwenye mazungumzo, mtu mmoja akawa anarecord sauti kwa kutumia simu, je naweza kuwa na application ya kugundua uwepo wa simu hiyo au kifaa hicho?
Shukran!!
Kwa mfano tupo kwenye mazungumzo, mtu mmoja akawa anarecord sauti kwa kutumia simu, je naweza kuwa na application ya kugundua uwepo wa simu hiyo au kifaa hicho?
Shukran!!