ndisinzowa
Member
- Aug 18, 2010
- 86
- 14
Nina gf wangu,alinambia anakaribia kubleed na dalili za kubleed amezisikia yaan kama siku mbili zijazo atableed.tukaduu bila kinga,sasa ananambia ana mimba,je inawezekana kweli mimba ikawa yangu?.kwan navyo elewa akikaribia kubleed yai linakuwa limeharibika.je ni yangu au nimeibiwa hapa?
Nina gf wangu,alinambia anakaribia kubleed na dalili za kubleed amezisikia yaan kama siku mbili zijazo atableed.tukaduu bila kinga,sasa ananambia ana mimba,je inawezekana kweli mimba ikawa yangu?.kwan navyo elewa akikaribia kubleed yai linakuwa limeharibika.je ni yangu au nimeibiwa hapa?
Duu kazi ipo, mi hapo umenchanganya kdg.. bado cku mbili ableed mka duu.. ok.. sasa tukianzia hapo umeshamix mambo.. haiwezekani mkaduu 2 days b4 afu apate mimba.. na kama mlifanya ivyo afu kweli after 2 days akaanza period mimba itatokea wapi????? Unless unambie alivyomaliza kubleed haukudo nae teeeeena mpaka unavyotuletea thread hii and if that is the case, mimba haiwezi kuwa yako..na ndio maana ni muhimu sana kujua mzunguko wa mpnz wako na pia kuzijua cku hatari ni zipi, ukishajua vitu hivyo viwili itakusaidia kuzuia mimba zisizo na matayarisho....
mimba sio yako ni ya huyo GF wako!