tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Habarini ndugu wana Jamvi.
Mke wangu amegundulika kuwa ana tatizo la kuziba kwa mrija (fallopian tube) wa upande mmoja, hivyo napenda kufahamu kuwa, je bado ataweza kupata mimba kupitia mrija wa upande mmoja ambao uko salama? Nini cha kufanya ili apate mimba au apone hilo tatizo?
Natanguliza shukurani.
Mke wangu amegundulika kuwa ana tatizo la kuziba kwa mrija (fallopian tube) wa upande mmoja, hivyo napenda kufahamu kuwa, je bado ataweza kupata mimba kupitia mrija wa upande mmoja ambao uko salama? Nini cha kufanya ili apate mimba au apone hilo tatizo?
Natanguliza shukurani.