Msaada: Je, nastahili kupata exemption kwa ununuzi wa gari langu?

kinabhi

Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
18
Reaction score
8
Mimi ni mtumishi wa serikali na nimenunua gari aina ya Raum new model mwaka 2005 na nimeprocess form zote za exemption na kufuata utaratibu wote lakini nimeenda TRA wamenambia kuwa sistahili kupata exemption kwa sababu gari langu ni la 2005,,ila najiuliza gari langu lipo ndani ya miaka kumi je TRA wako sahihi au niendelee kwenda mbele?

Nawasilisha.
 

TRA ndio waamuzi wa mambo ya kodi..

huko kwingine watakupiga bla bla bla..

labda uende kwenye ofisi ya tra zingine nao watoe mawazo yao..


lakini kaka raum tu unaiombea exemption?? madhara ya hiyo exemption inasumbua sana kwenye kuuza gari ukiichoka.


tumieni nafasi vizuri kaka kwa kuchukua exemption kwenye gari za maaana ambazo utatumia mwenyewe muda mrefu bila kuuza,, ili uepushe kodi kubwa.

vi baby walker watu hawavichukuliagi exemption kabisa sababu kodi yake ni ndogo ujijibana unaimudu vizuri
 
Sio walibadilisha sheria mwaka Jana ni miaka 8 kama sikosei , nafikiri unapata Excemption kama gari alina uchakavi
 
Wakuu naomba kujua utaratibu wa kupata exemption of VAT.
 
Nashukuru sana wadau ingawa nilipanic kidogo......ngoja nijikusanye
 
ungewauliza TRA wenyewe wakupe sababu kwa nini gari ya 2005 inakatalie exemption.
 
Umeacha kuwauliza TRA ukaja kutuuliza sie huku..??

Anyway JF ndio kila kitu
 
Nashukuru sana wadau ingawa nilipanic kidogo......ngoja nijikusanye

Pole Sana mkuu

Siku hizi uchakavu ni miaka 8 sio 10 tena Na exemption inatolewa kwa gari ambayo haina uchakavu, kwahiyo inabidi iwe ya kuanza mwaka 2007
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…