Habarini wakuu,
Nimepata tatzo hapa, kwa bahati mbaya mke, amepaka hii dawa mtoto maeneo ambayo. Imekatazazwa kama kichwani na usoni, ndio gafla ameanza kulia.
Tumejaribu muogesha sana na maji ndio amepata usingiz na nimeshindwa kwenda kituo cha kariibu cha afya msaada, je nikisubil hadi kesho asubuhi ili nimwahishe hospitali itakua na madhara zadi kwa mtoto?
Alinunua kwa ajili ya kumpaka kwa tatizo la vipele alivyonavyo mtoto, sasa bahati mbaya kapaka maeneo ambayo yamekatazwa kama, kichwani, usoni.
Nimepata tatzo hapa, kwa bahati mbaya mke, amepaka hii dawa mtoto maeneo ambayo. Imekatazazwa kama kichwani na usoni, ndio gafla ameanza kulia.
Tumejaribu muogesha sana na maji ndio amepata usingiz na nimeshindwa kwenda kituo cha kariibu cha afya msaada, je nikisubil hadi kesho asubuhi ili nimwahishe hospitali itakua na madhara zadi kwa mtoto?
Alinunua kwa ajili ya kumpaka kwa tatizo la vipele alivyonavyo mtoto, sasa bahati mbaya kapaka maeneo ambayo yamekatazwa kama, kichwani, usoni.