Msaada: Je, niandae Affidavity au Deed Poll?

Msaada: Je, niandae Affidavity au Deed Poll?

The_Poxs

Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
51
Reaction score
79
Hahitaji kujua nini natakiwa kuandaa kati ya Deed Poll au Affidavity?

Mimi jina langu limekosewa herufi moja na haibadilishi maana ya jina.

Badala ya Mohamed, likakosewa kwa kuongezewa herufi “i” yaani Mohamedi

Je, nini nifanye?
 
Deep poll ni doc ya kisheria inayobadilisha majina yako

Lakini affidavit ya majina inatumika kwa muda tu muafaka na unachopeleka ni ile doc original ya affidavit

Hivyo kuepuka kuandaa kila wakati hiyo affidavit ya majina andaa deed poll
 
Deep poll ni doc ya kisheria inayobadilisha majina yako

Lakini affidavit ya majina inatumika kwa muda tu muafaka na unachopeleka ni ile doc original ya affidavit

Hivyo kuepuka kuandaa kila wakati hiyo affidavit ya majina andaa deed poll

Asante sana kwa msaada mzuri sana nimekuelewa kaka[emoji120]
 
Deep poll ni doc ya kisheria inayobadilisha majina yako

Lakini affidavit ya majina inatumika kwa muda tu muafaka na unachopeleka ni ile doc original ya affidavit

Hivyo kuepuka kuandaa kila wakati hiyo affidavit ya majina andaa deed poll
[emoji817][emoji736][emoji736]
 
Hahitaji kujua nini natakiwa kuandaa kati ya Deed Poll au Affidavity?

Mimi jina langu limekosewa herufi moja na haibadilishi maana ya jina.

Badala ya Mohamed, likakosewa kwa kuongezewa herufi “i” yaani Mohamedi

Je, nini nifanye?
Andaa deed poll ndugu.
 
Hahitaji kujua nini natakiwa kuandaa kati ya Deed Poll au Affidavity?

Mimi jina langu limekosewa herufi moja na haibadilishi maana ya jina.

Badala ya Mohamed, likakosewa kwa kuongezewa herufi “i” yaani Mohamedi

Je, nini nifanye?
Hii kukosea kuandika jina litakiwa litangazwe kuwa janga la kitaifa kwa Tanzania. Hali ni mbaya sana sana. Uzembe unaanzia kwenye kuandika maneno ya kawaida kabisa ya kiswahili kama gari/gali, tafadhali/tafadhari, hakuwepo/akuwepo, anachelewa/hanachelewa nk. BTW jina lako limekosewa na nani/mamlaka gani? Ilikuwa uzembe wa nani mpaka ukafikia hapo? Nauliza hivyo kwa sababu kama ni cheti. mamlaka iliyotoa kama ilifanya makosa ndiyo ya kubana irekebishe.
 
Je kama ,majina ya vyeti vya taaluma ni mawili, lakini kwenye namba ya nida ni matatu, kuapply ajira portal,ninaandaa affidavit au deed poll
 
Back
Top Bottom