Tetesi: Msaada jf nataka nianze kufanya kazi za computer

Tetesi: Msaada jf nataka nianze kufanya kazi za computer

Peter Majaliwa

Senior Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
161
Reaction score
30
Jamani Masada wenu ningeomba kwa wajuzi wa computer watoe fani Zao wanazozijua iliwaniwezeshe niweze kuzifatilia kwaaudani zaidi
 
Hahaa..
Sijaelewa kama hii in tetesi au unaomba msaada.
__
Content ya ulichoandika ndo nashindwa ng'amua kabisa, Basically I'm Computer expert nadhani ningekusaidia kama ningekuelewa
 
Blaza unajua hata kutype barua za watu ni kazi za computer vile vile..
 
Jamani Masada wenu ningeomba kwa wajuzi wa computer watoe fani Zao wanazozijua iliwaniwezeshe niweze kuzifatilia kwaaudani zaidi
[/QUOT
Jamani msaada wenu naomba wajuzi wa computer mnifundishe japo kidogo tu jinsi ya kutumia hizo computer Asanteni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseee..
Mwe
 
Dogo watu tume hustle kwenye fani zetu alafu we unauliza maswali kama jongoo akiwa safarini
 
Elezea kiundani kazi gani unailenga, computer ina kaz nyingi

Mf: Uwez kusema "NATAKA KUFANYA KAZI KWENYE MAGARI" hali ya kuwa atujui unataka kuwa FUNDI, DEREVA au KONDA.
 
Back
Top Bottom