Msaada: Jina langu kwenye waliokosea bodi ya mikopo.

Msaada: Jina langu kwenye waliokosea bodi ya mikopo.

talentbrain

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2009
Posts
1,187
Reaction score
760
Nimejaribu kutazama jina langu ktk waliokosea sijafanikiwa. Sijui ni device yangu au system. Please, nitazamieni, Juma Shabani. Kama wanaanzia jina la pili iwe Shabani Juma.
Msaada wenu wadau.
 
ungetoa na namba yako ya "O" level. Hata hivyo majina wameyapanga hovyohovyo badala ya kutumia PDF mtu kafanya kuya paste tu ili mradi. bila shaka watayapanga vizuri zaidi - na mwisho wa kurekebisha ni 30/08/2013
 
Ahsanteni sana wadau, nadhani nimejiridhisha kuwa nilichokiona nikitumia kijisimu changu!!!!! Maana presha tayari imeshapanda.
 
Back
Top Bottom