Mr connecter
Member
- Jul 13, 2023
- 16
- 4
maskin suburi wadau wajeNdugu samahanini naomba kufahamishwa jinsi gani ya kuludia mtihani wa kidato Cha sita kwa mwaka huu 2023 kuhusu vituo hambavyo Ada zao huwa sikubwa kwa hapa daresalaam nahuwa shilingi ngapi kikawaida maana Kuna dogo hapa anatia huruma kwakweli nataka nimsaidie kwa hili
Foundation course OUT mbadala wakemaskin suburi wadau waje
inakuwa kwa muda ganiFoundation course OUT mbadala wake
Miezi 6inakuwa kwa muda gani
Piga veta ufundi stadi wowote, utawahi kufika kuliko kuhangaika na digrii za mchongo.Ndugu samahanini naomba kufahamishwa jinsi gani ya kuludia mtihani wa kidato Cha sita kwa mwaka huu 2023 kuhusu vituo hambavyo Ada zao huwa sikubwa kwa hapa daresalaam nahuwa shilingi ngapi kikawaida maana Kuna dogo hapa anatia huruma kwakweli nataka nimsaidie kwa hili
Nicheki WhatsApp 0653188876Mwenyewe nafundisha kituoni na Kama sayansi tunafanya na practicals ,nichek pm nikupe utaratibu