Msaada: Jinsi ya ku unlock simu

Msaada: Jinsi ya ku unlock simu

Slow learner

Member
Joined
Jul 6, 2019
Posts
18
Reaction score
8
Habari wakuu!
Naomba kwa anayefahamu jinsi ya Ku unlock simu ya Nokia ya torch iliyosahaulika password anisaidie tafadhali

Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom