Msaada jinsi ya kuagiza simu za Tecno na Itel kwa bei ya kiwandani

Msaada jinsi ya kuagiza simu za Tecno na Itel kwa bei ya kiwandani

Salahan

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
2,963
Reaction score
3,685
Simu ndogo ndogo hususani hivi vya batani za kampuni pendwa Africa namaanisha Tecno na Itel. Tumekuwa tukinunua simu hizi bei ya jumla maduka kadhaa kkoo arusha na kwingineko.

Nahitaji kujua vp nami naweza kuwa msambazaji yan nikauziwa kwa bei ya kiwandani utaratibu ukoje.Hapa namaanisha wauzaji wa kkoo mnaagizaje au mnapatiwaje mzigo kwa bei ya kiwandani.

Inapendeza nikijua bei zinakuwaje na kiwango cha chini kuagiza (Moq). Hawa Miamba huko alibaba hawapo kabisa so naamini labda kuna connection kila nchi. Mtaji sio tatizo uzuri tu ninunue nami niuze jumlajumla. Eti nilisikia huwa izi simu zinaagizwa kwa kilo sasa sijui huwa ikoje hiii namii wanadau na wajuzi wa hizi kazi mtatoa asali tunufaike.

Tizama bei ya jumla kkoo mwezi wa 10 2020 kwenye duka fulani hapo chimbo (sema wajomba hawatoi connection kabisa) mana wanajua watampoteza mteja wao sijui
It2160..18500
It2171..19000
It2173..19000
It5081..27000
T528..40000
T454..32000
T301..20000
T313...25000
T351...26000
SWALI NI JE IZO SIMU HAPO JUU NA ZINGINEZO NAPATAJE NA ZAUZWAJE KWA BEI YA CHINA AU AGENT WA TZ
1606056118928.png

PHOTO BY MTANDAO
 
KKOO MKUU SEMA MIMI NATAKA CHIMBO LAKUAGIZA BEI YA AGENT YAN YA KIWANDANI NDIO LENGO LA UZI HUU
Sasa mkuu

Nilitaka kujua mkoa ulipo sio kwa lengo baya
Ila kwa bei ulizotaja bado kuna watu wanaweza kukuuzia kwa bei nzuri hapo ulipo na baadae ukipata uzoefu zaidi haohao ndio watakuunganisha kuwa argent.
 
Sasa mkuu

Nilitaka kujua mkoa ulipo sio kwa lengo baya
Ila kwa bei ulizotaja bado kuna watu wanaweza kukuuzia kwa bei nzuri hapo ulipo na baadae ukipata uzoefu zaidi haohao ndio watakuunganisha kuwa argent.
MOROGORO
 
Mkuu unapigwa hizi hapa bei ya Dodoma

Itel 2160 _16500

Tecno
301 _21500
313 _25500
474_35000
351_26500
528_42000

Sasa mkuu kama Dodoma ndo bei hiyo jumla kwa dar naamini itakuwa chini kidogo ila ijumaa naenda Dar toka Dom nampango wa kwenda kununua simu na tv za jumla ndakupa mrejesho
 
Mkuu unapigwa hizi hapa bei ya Dodoma

Itel 2160 _16500

Tecno
301 _21500
313 _25500
474_35000
351_26500
528_42000

Sasa mkuu kama dodoma ndo bei hiyo jumla kwa dar naamini itakuwa chini kidogo ila ijumaa naenda dar toka dom nampango wa kwenda kununua simu na tv za jumla ndakupa mrejesho
Hapo it 2160 pekee ndio 'at least' unauziwa bei nzuri hizo nyingine bei kubwa mkuu.
 
Bei za KATORO (GEITA)
2160,_
Mkuu unapigwa hizi hapa bei ya Dodoma

Itel 2160 _16500

Tecno
301 _21500
313 _25500
474_35000
351_26500
528_42000

Sasa mkuu kama dodoma ndo bei hiyo jumla kwa dar naamini itakuwa chini kidogo ila ijumaa naenda dar toka dom nampango wa kwenda kununua simu na tv za jumla ndakupa mrejesho
 
Bo
Simu ndogo ndogo hususani hivi vya batani za kampuni pendwa Africa namaanisha Tecno na Itel. Tumekuwa tukinunua simu hizi bei ya jumla maduka kadhaa kkoo arusha na kwingineko.

Nahitaji kujua vp nami naweza kuwa msambazaji yan nikauziwa kwa bei ya kiwandani utaratibu ukoje.Hapa namaanisha wauzaji wa kkoo mnaagizaje au mnapatiwaje mzigo kwa bei ya kiwandani.

Inapendeza nikijua bei zinakuwaje na kiwango cha chini kuagiza (Moq). Hawa Miamba huko alibaba hawapo kabisa so naamini labda kuna connection kila nchi. Mtaji sio tatizo uzuri tu ninunue nami niuze jumlajumla. Eti nilisikia huwa izi simu zinaagizwa kwa kilo sasa sijui huwa ikoje hiii namii wanadau na wajuzi wa hizi kazi mtatoa asali tunufaike.

Tizama bei ya jumla kkoo mwezi wa 10 2020 kwenye duka fulani hapo chimbo (sema wajomba hawatoi connection kabisa) mana wanajua watampoteza mteja wao sijui
It2160..18500
It2171..19000
It2173..19000
It5081..27000
T528..40000
T454..32000
T301..20000
T313...25000
T351...26000
SWALI NI JE IZO SIMU HAPO JUU NA ZINGINEZO NAPATAJE NA ZAUZWAJE KWA BEI YA CHINA AU AGENT WA TZ
View attachment 1632331
PHOTO BY MTANDAO
Boss ukipata nipe connection na Mimi
 
Back
Top Bottom