kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Naomba msaada wakubwa
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza
naombeni msaada mambo ya kuzingatia katika uandishi wa barua ya kazi ila katika kampuni ndogo tu na ninacho hitaji ila anuani hinakaje na inataka vitu vingapi na mambo muhimu ya kuzingatia tu
Nawasilisha wakuu
"samahani pia kwa muandiko wangu mbovu"
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza
naombeni msaada mambo ya kuzingatia katika uandishi wa barua ya kazi ila katika kampuni ndogo tu na ninacho hitaji ila anuani hinakaje na inataka vitu vingapi na mambo muhimu ya kuzingatia tu
Nawasilisha wakuu
"samahani pia kwa muandiko wangu mbovu"