Wanajamvi poleni kwa majukumu..
Mimi ni mtanzania ambaye nina nia ya dhati kuanzisha kampuni itakayokuwa inajihusisha na maswala ya kilimo.. Tafadhari naomba nisaidiwe taratibu na namna ya kuanzisha kampuni hiyo.. na pia nisaidiwe kufahamishwa kama kuna gharama zozote zinahitajika mwanzoni au kama kuna malipo ya aina yeyote.
Mawazo yenu waungwana ninayaheshimu sana.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Ni mimi
mbumbumbu mwenye akili