Msaada: Jinsi ya kudhibiti ndege waharibifu kilimo cha maharage

Msaada: Jinsi ya kudhibiti ndege waharibifu kilimo cha maharage

Ngorunde

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2006
Posts
4,672
Reaction score
9,806
Habari wanajamvi.

Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga.

Hawa ndege ni wa rangi ya brown, wana mkia mrefu na kichwani wana kichungi. Kweli wananiharibia sana kiasi cha kunikatisha tamaa.

Kama kuna mdau yeyote mwenye mbinu za kuwadhibiti tafadhali anisaidie.

Ninawasilisha
 
Habari wanajamvi.

Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga.

Hawa ndege ni wa rangi ya brown, wana mkia mrefu na kichwani wana kichungi. Kweli wananiharibia sana kiasi cha kunikatisha tamaa.

Kama kuna mdau yeyote mwenye mbinu za kuwadhibiti tafadhali anisaidie.

Ninawasilisha
Itabidi uajiri vijana wa kufukuza ndege shambani kama wanavyofanya kwenye kilimo cha mpunga.
 
Itabidi uajiri vijana wa kufukuza ndege shambani kama wanavyofanya kwenye kilimo cha mpunga.
Asante kwa wazo mkuu.
Ngoja nisubiri kwa wadau wengine pia
 
Tupe mchanganuo wa kilimo chako, unalimaga ekari ngapi vipi kuhusu mapato yake n.k?
 
Back
Top Bottom