Msaada jinsi ya kudukua WiFi

Hii kitu sio simple. Wazungu sio wajinga sana kutengeneza mtandao ambao una weak security. Kama unataka kufanya ujasusi na pesa ipo kazi inafanyika.

Ila kama huna buku ya kununua mb hiyo haiwezekani.

Siyakukothamela Sonini na nini
 
Hii kitu sio simple. Wazungu sio wajinga sana kutengeneza mtandao ambao una weak security. Kama unataka kufanya ujasusi na pesa ipo kazi inafanyika.
Ila kama huna buku ya kununua mb hiyo haiwezekani.
Siyakukothamela Sonini na nini
ok
 
Threads kama hizi ndizo zinazo dhoofisha hili jukwaa.
 
Habari zenu Jamani,naomba mwenye kujua namna ya kuhack WiFi password a(tu)nielekeze.Ahsanteni.
Kuhack wifi kuna mahitaji ya vifaa unayotakiwa kuwa nayo

Wifi extnal adpter, router, kali machine

Unaweza tumia fluxn na uka send deauthenicatn packets kwenye TARGET WIFI (dos attacking) soon ikiwa down use ur external wifi adapter ku clone ile wifi nsme ya targer (air crack ng itahusika) + monitoring mode baadavya ku clone na fluxn wale victim watadisconnetiwa automatically den ukihost ur fake wifi yenye same name wakioona na wakiconnect kila kinachoandikwa utanivapana kwenye ur tool && kali
 
Hivi wifi ukisha-connect ukatumia internet ili kuendelea kutumia ni lazima ukae eneo ileile au hata ukihama kwenda sehemu nyingine bado unapata...
Duh,ili nalo la kuuliza?Kuna range ukihama ukienda sehemu nyingine haupati kitu
 
sio ukae eneo lile lile,ila unatakiwa ukae eneo inapopatakana,kila wifi inasetiwa kwa kipenyo furani,ukitoka nje ya kipenyo hicho unaendelea kupambana na nape.
kama hamna njia rasmi ya kutumia ukiwa sehemu nyingine basi nikishapata njia ya ku-hack nitakua naweka bando la buku na nikitaka ku-download au ku-upload vitu vyenye size kubwa mfano 3GB naenda eneo husika nifanye mambo na hapo maisha yataenda kwa uhakika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…