Msaada jinsi ya kufanya malipo ya bidhaa, Aliexpress, Alibaba na sehemu nyingine zenye bidhaa kali in Tanzania

Msaada jinsi ya kufanya malipo ya bidhaa, Aliexpress, Alibaba na sehemu nyingine zenye bidhaa kali in Tanzania

Jaman wapwa msaada JINSI ya kufanya malipo ya bidhaa kwenye Alibaba, AliExpress na nyingine Kwa urahisi kama ilivo kwenye kiApplicaton Cha Kikuu
Please [emoji3064]
Nenda bank NMB, ukiwa na nida au namba ya nida na tsh elf 10. Omba upewe prepaid card. Ni safe na rahisi sana, mi binafsi ndio naitumia kufanyia miamala ya huko, aliexpres, ebay, amazon etc.

Ukishapata card yako, log kwenye aliexpress au ebay payment options select mastercard. Ingiza namba ya card yako, expire date, cvv. Basi umemaliza ukienda kufanya malipo card yako ndio itakua inatoa ela. Hivyo tu
 
Nenda bank NMB, ukiwa na nida au namba ya nida na tsh elf 10. Omba upewe prepaid card. Ni safe na rahisi sana, mi binafsi ndio naitumia kufanyia miamala ya huko, aliexpres, ebay, amazon etc.

Ukishapata card yako, log kwenye aliexpress au ebay payment options select mastercard. Ingiza namba ya card yako, expire date, cvv. Basi umemaliza ukienda kufanya malipo card yako ndio itakua inatoa ela. Hivyo tu
Case closed
 
Nenda bank NMB, ukiwa na nida au namba ya nida na tsh elf 10. Omba upewe prepaid card. Ni safe na rahisi sana, mi binafsi ndio naitumia kufanyia miamala ya huko, aliexpres, ebay, amazon etc.

Ukishapata card yako, log kwenye aliexpress au ebay payment options select mastercard. Ingiza namba ya card yako, expire date, cvv. Basi umemaliza ukienda kufanya malipo card yako ndio itakua inatoa ela. Hivyo tu
Tumia airtel money master card au mpesa huko kwingine ukirudishiwa hela wanabaki nayo, pia kuna mchezo mbaya unaweza kuta kuna mtu analipia kadi yako bila taarifa. Niliachana na nmb na crdb baada ya kukutana na shida za kutorudishiwa hela nikidai refundi.
 
Tumia airtel money master card au mpesa huko kwingine ukirudishiwa hela wanabaki nayo, pia kuna mchezo mbaya unaweza kuta kuna mtu analipia kadi yako bila taarifa. Niliachana na nmb na crdb baada ya kukutana na shida za kutorudishiwa hela nikidai refundi.
Naomba maelezo kidogo maana nimesikia njia ya mitandao wanakata pakubwa. je kuna ukweli?
 
Tumia airtel money master card au mpesa huko kwingine ukirudishiwa hela wanabaki nayo, pia kuna mchezo mbaya unaweza kuta kuna mtu analipia kadi yako bila taarifa. Niliachana na nmb na crdb baada ya kukutana na shida za kutorudishiwa hela nikidai refundi.
Airtel wanaka asilimia ngapi
 
Mimi kwa uzoefu wangu hakuna gharama kubwa, kuna jamaa angu katumia M-pesa kuagiza mzigo wa 1.8m hakuna makato yakutisha!
huyo hajui rate ,voda wanakata 10% ya pesa unalipia mmi ni expert long time sana mwanzo ilikuwa 5% now 10 huoni ni kubwa???
 
Sidhani kama inakuwa kubwa kiasi hicho!
mmi ndo nakuambia,wapigue vida cm kma huamuni,mmi nilienda hadi vida shop maana nilishtua ndo cm ikapigwa makao makuu nikaambiwa mwanzo ulikuwa 5% sasahivi ni 10% piga cm voda hapo watakujibu
 
Nenda bank NMB, ukiwa na nida au namba ya nida na tsh elf 10. Omba upewe prepaid card. Ni safe na rahisi sana, mi binafsi ndio naitumia kufanyia miamala ya huko, aliexpres, ebay, amazon etc.

Ukishapata card yako, log kwenye aliexpress au ebay payment options select mastercard. Ingiza namba ya card yako, expire date, cvv. Basi umemaliza ukienda kufanya malipo card yako ndio itakua inatoa ela. Hivyo tu
makato yao ni % ngapi
 
Back
Top Bottom