Ingia website hii:Habari Wakuu!
Husika na kichwa cha habari hapo juu nahitaji msaada kwa mwenye uzoefu au details za jinsi ya kuimport tractor (s) kutoka UK kuja Tanzania.
Asante sana kwa maelezo yanayojitosheleza. Ubarikiwe ndugu!!!Usilaghaikee na wasemao kwa tractor halina malipo forodhani.Utalipia yafuatayo. Kama gharama CIF ni X
1. Wharfage charges 1.85%
2. Port handling charges 2.2%
3. Corridor levy 0.09%
4. VAT 0.41%
5. Shipping line charges 5%
6. Railway Development Levy 1.5%
7. Custom processing fees 0.6%
8. Registration fees Tsh 20,000
9. Number plate fees Tsh 32,000
10. Agency clearing and forward fee (makubaliano yenu)
Weka tayari na takriban dola 100 ya rushwa. Maaana mzigo wako utakawizwa kutoka kwa makusudi mpaka siku ya mwisho ya grace period. Kisha watakwambia Mzigo hauwezi toka leo, na usipotoka leo, kwanzia kesho utatozwa storage fees, ambayp ni dola kadhaa kwa siku. (takriban dola 30 kama nakumbuka vizuri).
Kisha watakwambia, ukazungumza nao vizuri, mzigo waweza upata usiku wa siku hiyo ya mwisho, kabla ya kesho yake. Hapo uandae rushwa ili upate mzigo wako kwa grace period kwisha.
kama haya yana ukweli; ziara ya kushitukiza inatakiwa tena. tumalizie kama tulivyoanza.Usilaghaikee na wasemao kwa tractor halina malipo forodhani.Utalipia yafuatayo. Kama gharama CIF ni X
1. Wharfage charges 1.85%
2. Port handling charges 2.2%
3. Corridor levy 0.09%
4. VAT 0.41%
5. Shipping line charges 5%
6. Railway Development Levy 1.5%
7. Custom processing fees 0.6%
8. Registration fees Tsh 20,000
9. Number plate fees Tsh 32,000
10. Agency clearing and forward fee (makubaliano yenu)
Weka tayari na takriban dola 100 ya rushwa. Maaana mzigo wako utakawizwa kutoka kwa makusudi mpaka siku ya mwisho ya grace period. Kisha watakwambia Mzigo hauwezi toka leo, na usipotoka leo, kwanzia kesho utatozwa storage fees, ambayp ni dola kadhaa kwa siku. (takriban dola 30 kama nakumbuka vizuri).
Kisha watakwambia, ukazungumza nao vizuri, mzigo waweza upata usiku wa siku hiyo ya mwisho, kabla ya kesho yake. Hapo uandae rushwa ili upate mzigo wako kwa grace period kwisha.
Gharama za port charge zinategemea na CBM ya mzigo. Pia kodi inategemea na gharama za ununuzi.Usilaghaikee na wasemao kwa tractor halina malipo forodhani.Utalipia yafuatayo. Kama gharama CIF ni X
1. Wharfage charges 1.85%
2. Port handling charges 2.2%
3. Corridor levy 0.09%
4. VAT 0.41%
5. Shipping line charges 5%
6. Railway Development Levy 1.5%
7. Custom processing fees 0.6%
8. Registration fees Tsh 20,000
9. Number plate fees Tsh 32,000
10. Agency clearing and forward fee (makubaliano yenu)
Weka tayari na takriban dola 100 ya rushwa. Maaana mzigo wako utakawizwa kutoka kwa makusudi mpaka siku ya mwisho ya grace period. Kisha watakwambia Mzigo hauwezi toka leo, na usipotoka leo, kwanzia kesho utatozwa storage fees, ambayp ni dola kadhaa kwa siku. (takriban dola 30 kama nakumbuka vizuri).
Kisha watakwambia, ukazungumza nao vizuri, mzigo waweza upata usiku wa siku hiyo ya mwisho, kabla ya kesho yake. Hapo uandae rushwa ili upate mzigo wako kwa grace period kwisha.