Msaada: Jinsi ya kujaza form TaESA

Msaada: Jinsi ya kujaza form TaESA

captain 21

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2021
Posts
585
Reaction score
1,185
Habari zenu za muda huu wakuu? Naomba nipate uhakika ni hiki ninachofikiria.
Kwenye Kipengele cha "Job Preference" unapojaza form ya TaESA ni sahihi kwamba unatakiwa ujaze kazi ambazo ungependa kuzifanya kutokana na taaluma yako?
 
Back
Top Bottom