Habari wakuu,
Nimejaribu kijisajili kwa mtandao katika mfumo wa zimamoto naona kama kuna changamoto kwa upande wangu.
Anaejua naomba msaada, au kama kuna tatizo naomba ma IT watusaidie, ukiingia tu kwenye mfumo unaombwa namba ya NIDA baada ya hapo mfumo hauendelei.
Nimejaribu kijisajili kwa mtandao katika mfumo wa zimamoto naona kama kuna changamoto kwa upande wangu.
Anaejua naomba msaada, au kama kuna tatizo naomba ma IT watusaidie, ukiingia tu kwenye mfumo unaombwa namba ya NIDA baada ya hapo mfumo hauendelei.