Msaada jinsi ya kukaanga mbegu za maboga

Msaada jinsi ya kukaanga mbegu za maboga

Mwwnye ujuzi tafadhali
Zikaushe juani kwanza kisha ukaange kwenye frying pan au sufuria kavu..add salt basi . sasa inategemea matumizi yako ni kwa ajili ya nini ila kama ni kwa ajili ya kuboost maziwa mlaji anaweza zimenya akala ile nut ya ndani au ukazisaga kwa blender ya vitu vikavu bila kuzimenya na ukamix kwa uji au mtori wa moto.

i hope u will find it helpful[emoji12]
 
Zikaushe juani kwanza kisha ukaange kwenye frying pan au sufuria kavu..add salt basi . sasa inategemea matumizi yako ni kwa ajili ya nini ila kama ni kwa ajili ya kuboost maziwa mlaji anaweza zimenya akala ile nut ya ndani au ukazisaga kwa blender ya vitu vikavu bila kuzimenya na ukamix kwa uji au mtori wa moto.

i hope u will find it helpful[emoji12]
Shukran mkuu mm nilihitaj kutafuna tu....
 
Back
Top Bottom