Msaada jinsi ya kukaba kwenye FIFA 24 ya PS4

Msaada jinsi ya kukaba kwenye FIFA 24 ya PS4

Mill69

Member
Joined
Jun 19, 2024
Posts
19
Reaction score
26
Habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, naomba msaada wenu kwa wale mafundi wa playstation 4, jinsi ya kukaba kwenye fifa 24 au 23, nimegundua nikiwa nacheza hili game wachezaji wangu hawakabi, ni kama wanamsindikiza mchezaji mpaka golini, nimejaribu kuangalia tutorial mbalimbali youtube lakini bado napata shida.

Kiufupi niko vizuri kwenye kupiga pasi na kushinda nikiwa na mpira, tatizo linakuja kwenye kuupata mpira nikiwa nimeupoteza..nimejaribu pia kuweka settings kama tactical defending na legacy lakini naona mambo ni yaleyale, wachezaji hawafiki miguuni kwa mtu, wanamuangalia tu hadi nafungwa!!

Natumia controller settings za zamani kama ps2,

X pass
O sliding tackle
[] shoot
/\ through ball

Nakaribisha mawazo yenu wakuu.
 
ungeweza kutumia tactical au advance tactical naona ndo njia bora zaidi ukizingatia adv.tactical inakupa options nyingi ukikaba kama ( vikumbo ,kumshika mpinzani,kuweka vizuizi njiani nk) ambapo utakaba kama tactical ya kawaida kwa kutumia R1 na R2 kwa kuhold na kuingiza mguu na ■ bila kusahau L2 ili kuweka nguvu na kuziba njia ikitokea kakushinda kapita hold X ili kumshika au kikumbo io ni intro ndogo kuhusu best way of adv.tactical.
 
Pole sana.
UKabaji unatofautiana kwa legacy na tactical.

Legacy: jitahidi kukaba kwa kutumia midfielders hasa CDM na usibadili player anayekaba kama huna uhakika player unayembadili hayupo karibu na opponent mwenye mpira. Pili kama unacheza na mtu ambaye anakimbia tu akipata mpira hasa anayepitia pembeni basi defender aliye mbele ya mchezaji anayekuja ndo mchange faster ili asipitwe.

Jitahidi unapokaba mchezaji wako wakikaribiana sana na opponent wake achia speed then unaweza bonyeza X au box atachukua mpira. mara nyingi ukihold speed ile power ya kukaba inapungua ufanisi.
Kumbuka kwenye tactics defensive iwe balance.
Kuna mengi mkuu.
 
Pole sana.
UKabaji unatofautiana kwa legacy na tactical.

Legacy: jitahidi kukaba kwa kutumia midfielders hasa CDM na usibadili player anayekaba kama huna uhakika player unayembadili hayupo karibu na opponent mwenye mpira. Pili kama unacheza na mtu ambaye anakimbia tu akipata mpira hasa anayepitia pembeni basi defender aliye mbele ya mchezaji anayekuja ndo mchange faster ili asipitwe.

Jitahidi unapokaba mchezaji wako wakikaribiana sana na opponent wake achia speed then unaweza bonyeza X au box atachukua mpira. mara nyingi ukihold speed ile power ya kukaba inapungua ufanisi.
Kumbuka kwenye tactics defensive iwe balance.
Kuna mengi mkuu.
Umeeelezea vizuri kiongozi lakini kwenye full back kumkaba opponent anaetokea pembeni Mimi naona njia bora zaidi ni kumuacha free second player uku ukikimbilia kwenye box mbele ya yule opponent na second player wako Ili ikitokea kamzidi unakua uko mbele kuhakikisha usalama lakini mara nyingi second player apitwi ivivi labda opponent arudishe shambulizi nyuma aanze upya. Ni ivyo kiongozi
 
Back
Top Bottom