Aman peaceful
Member
- Mar 2, 2018
- 89
- 63
- Thread starter
-
- #41
Asante sana mkuu kwa kunionesha mwanga hasa hapo kwenye gia!Nilijifunzia manual kipindi hicho automatic Ni za kuhesabika.
Manual ni more fun than automatic transmission.
Wakati wakujifunza manual utaunguza clutch, hili Ni kawaida kwa waliowengi hivyo jiandae kwa Hilo. Kikubwa uwe unaachia clutch taraaaaatibu esp ukiwa unaingiza gear moja na mbili huku unapress accelerator taraaaaatibu, zinaenda kwa kupishana.
Hahahah huyo atakuwa amepokea mesej ya mubebi kuwa yupo home alone!Mimi waendesha Manual wananiacha hoi pale anapokuwa anarudi nyuma,halafu gari likiwa bado kwenye motion ya kurudi nyuma anabadilisha gear na kuiweka gear namba 1,then anakanyaga accelerator na gari lina enda mbele..
hii ni kweli mkuuNa ukitaka kujua kuwa madereva tuko wachache nchi hii we leta Gari ya manual transmission
duuh ful mauzoefu hapa naona mkuuNabisha kwa fact nilizonazo sio kubisha tu,Nimeendesha gari toka mwaka 2004 mpk leo bado ninaendesha.Sijawahi kuchoma clutch hata mara moja.Na mara zote nasimama kwa clutch na moto.Nilishatembea na gari imekufa gear no 1,2 zinazokubali ni 3,4,5,R nilitoka TARIME mpk Mwanza.SEMENI TUWAPE MAUJUZI ACHENI KUPINGA KILA KITU.
Hii labda aazime coaster ya t/kimanga afanyie mazoezi kilima cha kuelekea aroma pale maana kunakuwaga na jam si mchezo!Kama unaweza kuendesha Automatic basi kwenye manual nenda kwenye miinuko sehemu ambapo ukiachia brake gari inarudi nyuma.Hapo jifunze kubalance brake,MOTO na clutch.
Usilazimishe kukalili jinsi ya kuondoka,KIKUBWA ISIKILIZE GARI INATAKA GEAR NO NGAPI.
Utazoea tu muda sio mrefu hata mlimani unasimama kwa kutumia clutch na moto bila brake.
hii elimu ya kitaa ndo nayoitaka mkuuKwa maelezo yako unaonekana kabisa driving yako umepatia kwenye vyuo........NJOO UPATE DRIVING SKILLS YA KITAA,HUKO MNAKALILISHA MAJINA YA SPEAR TU ILA UJUZI HAKUNA.KILA KITU MMEKALILI.
hahaa manual trans. ni ful mitego mkuu na ndio maana ninahitaji msaada mkuuMimi waendesha Manual wananiacha hoi pale anapokuwa anarudi nyuma,halafu gari likiwa bado kwenye motion ya kurudi nyuma anabadilisha gear na kuiweka gear namba 1,then anakanyaga accelerator na gari lina enda mbele..
Yeah akili ni moto na clutch tu kubalance ukifaulu hapo kazi kwisha.Ugumu upo hasa katika kubalance clutch na mafuta ili uanze kuondoka.
kwa kweli mkuu hapo ndo panaponiumiza kichwa!Ugumu upo hasa katika kubalance clutch na mafuta ili uanze kuondoka.
Usiumize kichwa CHUKUA HII.kwa kweli mkuu hapo ndo panaponiumiza kichwa!
Watu washagonga sana kuta za nyumba kwa kuzidisha mafuta!kwa kweli mkuu hapo ndo panaponiumiza kichwa!
Hii ndio ilinishinda, nakumbuka tulikuwa na gari ya tatu manual kwa ajili ya maza toyota sprinter mayai ilinunuliwa mwaka 2002 home. Katika kuiosha nikawa najifunza kuendesha kibishi aisee ilikuwa inazima zima na kustuka balaa . Hadi nikakata tamaa!Usiumize kichwa CHUKUA HII.
Manual ya diesel na petrol zina utofauti huu,Diesel balance yake sio ya timing sana kama ya petrol.
Diesel hata ukichelewa kukanyaga moto haizimi haraka kama petrol.
HAKIKISHA UNAJIFUNZIA MANUAL YA PETROL,HII INA CHANGAMOTO YA KUZIMA GARI NA KURUDI REVERSE.UKIWEZA KUBALANCE MOTO KWENYE GARI YA PETROL NINA HAKIKA GARI YA DIESEL ITAKUWA MTEREMKO TU.
Aloo hii sio gari sasa ni jiko hili. Maana hayo mazoezi unayofanya kama ni horse ukifika Zambia toka Dar lazma ulale week kuondoa uchovu!Tujikumbushe kidogo
Acha kabisa mkasi juu mkasi chini gearAloo hii sio gari sasa ni jiko hili. Maana hayo mazoezi unayofanya kama ni horse ukifika Zambia toka Dar lazma ulale week kuondoa uchovu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wiper za nini sasa?
ACHANA NA UBISHI WA BARABARANI LETE SKILLS ZA KUENDESHA GARI MANUAL.TATIZO V..A INAWAKALIKISHA,HAMJUI LOLOTE.SAFARI NDEFU ULIYOWAHI KUTEMBEA NI KM 200 EXPERIENCE UTAIPATA WAPI?
Inanisaidia sana pindi ninapokuwa natoka kupopoka hukoo mbali, maana hainipi nafasi ya kusinzia.Manual is fun. You don't get bored kabisa.
Auto nahisi nikiendesha nitalala nijishangae.