MSAADA: Jinsi ya kuomba kubalidilishiwa shule kidato cha tano

MSAADA: Jinsi ya kuomba kubalidilishiwa shule kidato cha tano

chumachakavu

Member
Joined
Oct 1, 2017
Posts
53
Reaction score
62
Habari ndg zangu, kuna kijana mmoja alikuwa anaishi na mama yake Jijini Dar salaam,baba yake alifariki muda mrefu,mwaka jana kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha nne mama yake nae alifariki, kijana huyo Mungu amemsaidia amefaulu na amepangiwa Temeke sekondari, kwa bahati mbaya shule ile ni ya kutwa nae hana mtu wa kuishi nae hapa jijini Dar.

kwa sasa anaishi na mama yake mkubwa huko Kisarawe Kijijini, Ameniuliza kama anaweza kubadilishiwa shule kwenda boarding, nikaona subiri niwauliza ndugu zangu humu Jamii Forums,je inawezekana na kama inawezekana wapi anaweza kupata huduma hii?

Wizara ya elimu au TAMISEMI au kwa Afisa elimu mkoa?

Naombeni majibu ndg zangu.

Mungu awabariki

Pia soma ~ Mwanafunzi wa Kidato cha 5 fanya haya ikiwa unataka kubadili tahasusi tofauti na uliyopangiwa
 
Njoon huku wandugu zangu tusaidie wengine tuliishia kujificha kichakani tu.
 
Utaribu ni aende akaripoti afu anatafta shule aombe nafasi akishapata nafasi ndo anamwambia mkuu wa shule aliyopangiwa then process ndo znaanza uzur siku izi n simple ni online wenyewe KWA wenyew wakuu wa shule ..,.ni ivyo
 
Utaribu ni aende akaripoti afu anatafta shule aombe nafasi akishapata nafasi ndo anamwambia mkuu wa shule aliyopangiwa then process ndo znaanza uzur siku izi n simple ni online wenyewe KWA wenyew wakuu wa shule ..,.ni ivyo
Asante
 
Habari ndg zangu, kuna kijana mmoja alikuwa anaishi na mama yake Jijini Dar salaam,baba yake alifariki muda mrefu,mwaka jana kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha nne mama yake nae alifariki...
Anaweza kupiga simu huduma kwa wateja Tamisemi. Inawezekana au kwa afisa elimu mapema.
 
Mimi ni mwanafunzi niliyrpangiwa advance first selection tamisemi uko rukwa ila kutokana na changamoto zilizo nje ya uwezo wangu ningependa kuhama bila ya kuripoti hivyo ningependa kujua utaratibu jinsi ulivyo
Ili kuepusha gharama kutokana na umbali ndugu zangu
Comb aliyopangiwa H.G.K
Shule.matai Rukwa, Kalambo dc
 
Mimi ni mwanafunzi niliyrpangiwa advance first selection tamisemi uko rukwa ila kutokana na changamoto zilizo nje ya uwezo wangu ningependa kuhama bila ya kuripoti hivyo ningependa kujua utaratibu jinsi ulivyo
Ili kuepusha gharama kutokana na umbali ndugu zangu
Comb aliyopangiwa H.G.K
Shule.matai Rukwa, Kalambo dc
 
Jaman mm ni mwanafunzi niliyepangiwa shule ya mohoro Sasa shule hiyo niliyepangiwa haina comb ninayotaka Sasa naitaj kuham kwenda shule ya morogoro secondary Sasa ntaweza kuhamia huko na nilisharipoti shule niliyepangiwa naomba msaad wenu kutimiza ndoto zang
 
Back
Top Bottom