Msaada jinsi ya kuona post za ualimu

Msaada jinsi ya kuona post za ualimu

STEPHEN JIBE

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
61
Reaction score
8
Natanguliza shukran za dhat kwenu,
naomba mnisaidie namna ya kuziona post za ualimu kwenye mitanao au anuan inayoonesha post hizo,
asante,
mwana jf mwenzenu
 
Najua mpo kwenye kipindi kigumu sana walimu wapya ila endeleeni kuivumilia serikali yenu sikivu ya chama cha mapinduzi.M4C ndo mpango mzima.
 
Ha ha ha ha ha MOULEMBE Sisi ni wahitimu wazamani sio walimu wapya tunawakiwa na jua la utosi kitaa ni balaa! Tutaiiti serikali ya sisiem kama inavyo tupelekesha.
 
Back
Top Bottom