MSAADA: Jinsi ya kuondokana na uraibu wa kupenda makalio makubwa

Katoe testicles upunguwe kiwango cha testosterone, ndio utaacha. Wewe ni mwanaume, kuyapinga hayo utajiletea mabadiliko psychologically ambayo itakufanya uanze kufanya vitu ambavyo jamii nzima ya Africa huchukia. Ukisuppress upande mmoja basi jua unakuza upande mwingine. Hazijileti zenyewe hizo unahormones mwilini ohoo. Chamsingi ni kujifunza ni kuzitawala hisia na tamaa zako, maana zinatawalika ukitaka.
 
Asante sana
 
Kuna Ile clip ya yule jamaa wa TikTok inahusiana na hiyo picha "we njoo Dar kama utatunza Hela"😁
 
Acha kuangalia porno dogo, nenda nyumba za ibada sali/swali, piga kitabu sana uje kulitumikia taifa
 
Unamiaka mingapi jamani? Nimeona unajua vitu jamani au
basi Ngoja tulale kwanza, πŸ˜…
Mi bado mdogo eti,, Atoto njoo huku babe wako niko in danger Mabusu anataka kukuibia huku.. kimbia kabla sijawekwa kwenye gauni la mshangazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…