Habari zenu wakuu
Mimi ni mjasiriamali lakini kwa sasa nina wazo jipya la kufanya Foreign Exchange(Forex) lakini kwa uchunguzi wangu nilioufanya siwezi kupata faida kama nitanunua bureau na kwenda kuuza bank au bureau inayofuata
Hivyo katika uchunguzi wangu nimeona nitafute mbinu mbadala ya kupata hizo pesa za kigeni halafu nikaziuze kwenye hizo sehemu husika sasa kilichonileta hapa wadau wangu kutaka ushauri wenu ni wapi nitazipata hizo pesa na pesa ninazozihitaji hasa ni USD, GREAT BRITISH POUND, EUR na RAND pia kama itaweza kunipatia faida
Naombeni msaada ni vipi nitaweza kuwa dalali wa hizo FEDHA nionesheni machimbo yalipo wadau na mimi nikazichukue kwa bei nafuu ili nije kuuza bureau kwa bei nzuri yenye maslahi.
Asanteni sana
Nawasilisha
Mimi ni mjasiriamali lakini kwa sasa nina wazo jipya la kufanya Foreign Exchange(Forex) lakini kwa uchunguzi wangu nilioufanya siwezi kupata faida kama nitanunua bureau na kwenda kuuza bank au bureau inayofuata
Hivyo katika uchunguzi wangu nimeona nitafute mbinu mbadala ya kupata hizo pesa za kigeni halafu nikaziuze kwenye hizo sehemu husika sasa kilichonileta hapa wadau wangu kutaka ushauri wenu ni wapi nitazipata hizo pesa na pesa ninazozihitaji hasa ni USD, GREAT BRITISH POUND, EUR na RAND pia kama itaweza kunipatia faida
Naombeni msaada ni vipi nitaweza kuwa dalali wa hizo FEDHA nionesheni machimbo yalipo wadau na mimi nikazichukue kwa bei nafuu ili nije kuuza bureau kwa bei nzuri yenye maslahi.
Asanteni sana
Nawasilisha