MSAADA: Jinsi ya kupata kibali cha kusafirisha mazao

MSAADA: Jinsi ya kupata kibali cha kusafirisha mazao

Nu kama

Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
5
Reaction score
3
Msaada jamani, kwa wale wafanya biashara wazoefu wa kusafirisha mazao nilikuwa nahitaji kujua jinsi ya kupata kibali cha kusafirisha mazao.
 
Kupeleka wapi na mazao Gani? Na sh ngapi? Toa maelezo yaliyoshiva usaidiwe
Mzigo ni maharagwe na yapo strore. Sasa niko na option mbili niuzie huku huku au nipeleke dar kwasababu yatanilipa zaidi. Sasa kwenye swala la kusafilisha mzigo ndio mgeni kabisa ila nimeambiwa nahitaji kibali ila walio niambia pia hawajui hilo swala la kibali inabidi nianzie wapi niishie wapi. Hivyo nikaona nililete hili swala huku labda naweza pata majibu.
 
Sasa mkuu unataka upeleke nje ya nchi, na sisi tule nini?
Hahahahaaaa hapana ndugu sipeleki nje ni hapa hapa nchini, ila nimeambiwa nahitaji kibali ili kupita na mzigo getini, shida ni kwamba naanzia wapi kupata kibali na ofisi gani na niwe na nyaraka gani zingine ndio sijui.
 
Hahahahaaaa hapana ndugu sipeleki nje ni hapa hapa nchini, ila nimeambiwa nahitaji kibali ili kupita na mzigo getini, shida ni kwamba naanzia wapi kupata kibali na ofisi gani na niwe na nyaraka gani zingine ndio sijui.
chini ya tani moja huhitaji kibali, zaidi ya hapo ndo utahitaji kibali. unayatoa mkoa gani.
 
chini ya tani moja huhitaji kibali, zaidi ya hapo ndo utahitaji kibali. unayatoa mkoa gani.
Shukrani sana, mzigo unafika tani moja kamili, na kwa sasa nimeambiwa inabidi nimpate mtu mwenye leseni ya kununua na kuuza na kusafirisha mazao huyo ndio atanisaidia kupata kibali hicho.
 
Ngoja wajuzi waje na mimi nipate shule
Nita jitahidi nikisha fanikisha hili swala niulete uzi wa mlolongo mzima ili vijana wengine wanao anza na kutamani kufanya biashara kama hii waweze kua na pa kuanzia. Mambo mengi huwa yanatushinda kuyafanya kwasababu ya kuto kujua pakuanzia na kuogopa mlolongo uliopo kwa kudhania ni mrefu mno kwahiyo taarifa kama hizi ni muhimu watu kujua ndugu yangu
Ngoja wajuzi waje na mimi nipate shule
 
Kama unataka kupeleka nje let say nina gunia 5 za maharage nataka ziende zambia jee inahitaji kibali
 
Back
Top Bottom