Za asubuhi waungwana,
Nadhani wote tunafahamu hizi namba za malipo ambazo tunatumia kuzilipa kampuni mbalimbali, zinakuaga tarakimu sita kama sikosei. Mfano kwa wale wanaobet, Premier Betting ni 500700, Meridian Bet ni 444999, Tatu Mzuka ni 555111, Bikosport ni 101010, etc
Sasa kuna Project/Biashara/Fursa nimeiona nataka niianzishe ambayo mteja atahitajika kulipia kupitia mfumo huu ili apate huduma. Nachoomba mnisaidie ni kua ni nani anasajili hizi number? Na nipitie njia gani ili niweze kusajiliwa kwenye hizi number?
Karibuni
Nadhani wote tunafahamu hizi namba za malipo ambazo tunatumia kuzilipa kampuni mbalimbali, zinakuaga tarakimu sita kama sikosei. Mfano kwa wale wanaobet, Premier Betting ni 500700, Meridian Bet ni 444999, Tatu Mzuka ni 555111, Bikosport ni 101010, etc
Sasa kuna Project/Biashara/Fursa nimeiona nataka niianzishe ambayo mteja atahitajika kulipia kupitia mfumo huu ili apate huduma. Nachoomba mnisaidie ni kua ni nani anasajili hizi number? Na nipitie njia gani ili niweze kusajiliwa kwenye hizi number?
Karibuni