Msaada: Jinsi ya kupata Schorlaship ya Masomo

Tyale

Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
23
Reaction score
0
Msaada kwa anayefahamu jinsi ya kupata scholarship ya kusoma nje ya nchi hasa Canada,Sweden,Australia au popote naomba ani PM no yake ntamtafuta au tuwasiliane 0762639283. Asanteni.
 
msaada kwa anaefahamu jinsi ya kupata schorlaship ya kusoma nje ya nchi hasa Canada,Sweden,Australia au popote naomba ani PM no yake ntamtafuta o tuwasiliane 0762639283 asanteni

Ingia google, jaribu kuangalia katika kila ubalozi wa nchi husika hapa tanzania.Pia jaribu kuangalia utumisha, ila nadhani nyingi huku ni kwa watu wa serikalini.Usichoke utafanikiwa ila vigezondo linakuwa tatizo kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…