M Mkwaja Member Joined Dec 8, 2014 Posts 35 Reaction score 3 Feb 17, 2015 #1 Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali.
M Mkwaja Member Joined Dec 8, 2014 Posts 35 Reaction score 3 Feb 18, 2015 Thread starter #2 wapendwa wapishi mbona mko kimya. Jitokezeni mnisaidie pls.
M Mkwaja Member Joined Dec 8, 2014 Posts 35 Reaction score 3 Feb 18, 2015 Thread starter #3 wapendwa wapishi mbona mko kimya. Jitokezeni mnisaidie pls.
M makubazi JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 2,047 Reaction score 364 Feb 19, 2015 #4 Mkwaja said: Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali. Click to expand... Mkuu samahani kwanza nauliza huwo mofa uliona wapi au duka gani unakouzwa maana hata mimi nausikea tu kwenye vibaraza vya kahawa kama kuna mkate wa mofa basi
Mkwaja said: Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali. Click to expand... Mkuu samahani kwanza nauliza huwo mofa uliona wapi au duka gani unakouzwa maana hata mimi nausikea tu kwenye vibaraza vya kahawa kama kuna mkate wa mofa basi
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Feb 20, 2015 #5 Duu isije kuwa ni jina kama azam au super loaf kama vipi tupia picha..
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Feb 20, 2015 #6 Mkwaja ntakueka recipe ya mofa usijali Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
BIGURUBE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 6,748 Reaction score 4,252 Feb 20, 2015 #7 farkhina said: Mkwaja ntakueka recipe ya mofa usijali Click to expand... Natamani ungekuwa wife uwe unanipikia kwa utaalam wako😀 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
farkhina said: Mkwaja ntakueka recipe ya mofa usijali Click to expand... Natamani ungekuwa wife uwe unanipikia kwa utaalam wako😀