Msaada:Jinsi ya kupika mkate wa Mofa

Mkwaja

Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
35
Reaction score
3
Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali.
 
wapendwa wapishi mbona mko kimya. Jitokezeni mnisaidie pls.
 
wapendwa wapishi mbona mko kimya. Jitokezeni mnisaidie pls.
 
Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali.

Mkuu samahani kwanza nauliza huwo mofa uliona wapi au duka gani unakouzwa maana hata mimi nausikea tu kwenye vibaraza vya kahawa kama kuna mkate wa mofa basi
 
Duu isije kuwa ni jina kama azam au super loaf kama vipi tupia picha..
 
Mkwaja ntakueka recipe ya mofa usijali
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…