Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wali unaweza kupika ?? alafu unawaza kupika pilau getoo ?? aaaaah mkuu hauko seriousJamani mimi ni mweupe kabisa kwenye kupika, hivyo basi naombeni mnisaidie jinsi ya kutoa pilau zuri maana nategemea kuanza kuishi geto hivi karibuni asanteni
geto sana tunapika ugali kitu cha fasta, sasa pilau, mara vutunguu swaum, mara mdalasini, mara iliki nk. utawezea wapi ??Jamani mimi ni mweupe kabisa kwenye kupika, hivyo basi naombeni mnisaidie jinsi ya kutoa pilau zuri maana nategemea kuanza kuishi geto hivi karibuni asanteni
Baada ya kununua pilau masala,apakue pilau kwenye sahani tayari kwa kuliwa[emoji3]Pilau mbona simpo, we nunua pila masala tu, shughuli kwisha
Dah hahahahahaBaada ya kununua pilau masala,apakue pilau kwenye sahani tayari kwa kuliwa[emoji3]