Unajua kutengeneza pop corn za chumvi?
Weka sukari kiasi unachotaka kwenye sufuria kavu na ubandike jikoni. Koroga taratibu huku inayeyuka. Utapata kama uji hivi wa brown. Punguza moto.
Kwenye jiko lingine tengeneza popcorn. Mahindi ya popcorn unayatia mafuta kiasi kwenye sufuria kubwa na kufunika. Yakianza kupasuka fanya kama vile unachekecha ili yaliyopasuka yapande juu.
Yakitulia mimina kwenye chombo kama sinia ama ungo. Nyunyizia sukari iliyoyeyushwa juu ya popcorn huku unazivuruga kwa mwiko ili sukari isambae kidogo kidogo.
Enjoy your movies (manake hizi shurti kwa movie lol)