Msaada jinsi ya kurudisha akaunti ya Facebook iliyodukuliwa

Msaada jinsi ya kurudisha akaunti ya Facebook iliyodukuliwa

stevennelson

Member
Joined
Sep 29, 2024
Posts
14
Reaction score
12
Kuna jamaa akaunti yake ya Facebook imedukuliwa na mdukuzi amebadilisha mifumo mmiliki wa akaunti akiingia inakataa inamdai password.
 
Kuna jamaa akaunti yake ya Facebook imedukuliwa na mdukuzi amebadilisha mifumo mmiliki wa akaunti akiingia inakataa inamdai password.
Ifunge kabisa au reset pass.
ukishindwa kabisa ihack nawewe
 
Hata mm nina jamaa yangu amedukuliwa alafu mdukuzi anatumia account kuombea hela na amem block asijue kinachoendelea
 
Hata mm nina jamaa yangu amedukuliwa alafu mdukuzi anatumia account kuombea hela na amem block asijue kinachoendelea
Hata mimi yalinikuta. Kabadilisha hadi email hata ukijaribu kureset wanatuma code kwenye email ya kwao sio yangu sasa unarudisha vipi hiyo account? Hiyo imeenda.
Nilichofanya ni kufungua mpya na kuwaonya watu kuwa hizo message za pesa zinatoka kwa wezi sio zangu basi.
 
Facebook,,,way back huko advance nimeacha kutumia ! Ujinga ujinga hamna la maana kule,,,, hata bwege akipewa simu janja cha kwanza ni Facebook,,, From no where unaweza ona post ya mtu kajipost yupo kifua wazi, na mke sijui ndo dem ama mchumba anaandika ndo nipo na shem wenu tunaenda kula raha za dunia , mpaka unashangaa,,,, hivyo vizungu sasa vichekesho
 
. Wanaodukuliwa account za Facebook, ni tamaa na wana Uelewa mdogo kichwani mwao..
 
Back
Top Bottom