Habari wakuu.
Hapa jirani yangu kuna jengo la uchapishaji magazeti.
Hapo awali mashine zao za printing walkua wameziweka mbali na makazi yetu. ila hivi karibuni wamezihamishia upande ambao ni karibu na nyumba yangu. Sasa ni mwendo wa kelele hata usiku wa manane na kuna kua na ile harufu ya karatasi za magazeti. Pia wameweka na jenereta ambalo linaleta moshi pindi wakiliwasha.
Nimeenda serikal ya mtaa nao kimya hamna kilicho badilika.
Je hapo naweza fata hatua zipi kisheria kutatua tatizo hili.
Ahasanteni wakuu
Hapa jirani yangu kuna jengo la uchapishaji magazeti.
Hapo awali mashine zao za printing walkua wameziweka mbali na makazi yetu. ila hivi karibuni wamezihamishia upande ambao ni karibu na nyumba yangu. Sasa ni mwendo wa kelele hata usiku wa manane na kuna kua na ile harufu ya karatasi za magazeti. Pia wameweka na jenereta ambalo linaleta moshi pindi wakiliwasha.
Nimeenda serikal ya mtaa nao kimya hamna kilicho badilika.
Je hapo naweza fata hatua zipi kisheria kutatua tatizo hili.
Ahasanteni wakuu