Msaada: Jinsi ya kutengeneza kiberiti

Joined
Feb 3, 2017
Posts
7
Reaction score
5
Naomba msaada kwa anaejua malighafi zinazotengeneza kiberiti cha njiti na gharama za mashine zake na mahitaji yote yanayotakiwa mpaka kiberiti kukamilika. Pamoja na jinsi ya kutengeneza toothpick na mashine vilevike.

Niko serious kama kuna mwenye ufahamu juu ya haya anisaidie.
 
maelekezo ya yeknolojia hayawezi kukutosheleza, kafanye utalii wa ndani kwanza kiwandani
 
umeuliza jambo jema sana kama kuna mwenye utaalamu huo atoe somo
 
Tengeneza kipato cha Ziada Kwa kupata kitabu maalumu kitakacho kufanya ujue kutengeneza bidhaa mbali mbali muhimu za viwamdani nyumbani kwako na uweze kujiajiri. Kitabu hicho utakipata Kwa bei ya TSh.5,000 tu! Katika email au whatsup yako. Nipigie au whatsup 0762208190 AU 0718978295. Utachagua unacho taka kujiajiri kitaalam kupitia kitabu hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…