Msaada, jinsi ya kutengeneza rangi za kucha za mikono

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
930
Reaction score
1,290
wakuuu, habari, naomba msaada kwa mtu yeyote anayejua jinsi ya kutengeneza rangi za kucha za mikono na miguu kwa wanawake, aniambie, unatumia marigafi gani, mchanganyiko wake, na mashine gani zinatumika, na gharama zake ni shilingi ngapi?? au kama unajua kiwanda chochote kinachotengeneza rangi hizo. asanten
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…