Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Na fomart kule chini kabisa kwenye setting sio mkuu.Simu za Tecno nyingi zinatoka tu hivi hivi Angalia keyboard ya simu somewhere utapata upenyo wa kuingia setting za simu ama kwenye browser, kupitia hapo format simu, ama kama utaingia kwenye browser download shortcut ya setting Kisha ingia setting then format.
Una format kawaida kama unavyo format siku zote, utafute tu namna ya kutoka kwenye frp kwenda kwenye setting, Mara nyingi unapitia keyboard.na fomart kule chini kabisa kwenye setting sio mkuu
hebu nielekeze vizuri
Umenipa ka tricky sheikhe aiseeSimu za Tecno nyingi zinatoka tu hivi hivi Angalia keyboard ya simu somewhere utapata upenyo wa kuingia setting za simu ama kwenye browser, kupitia hapo format simu, ama kama utaingia kwenye browser download shortcut ya setting Kisha ingia setting then format.
Sijui tunaweza pata ka screenshots tujifunze kwa maandishiSimu za Tecno nyingi zinatoka tu hivi hivi Angalia keyboard ya simu somewhere utapata upenyo wa kuingia setting za simu ama kwenye browser, kupitia hapo format simu, ama kama utaingia kwenye browser download shortcut ya setting Kisha ingia setting then format.
siwezi toa screenshot sababu sina Tecno na zinatofautiana baina ya simu na simu, kila simu inakua na njia yake, ila logic ni hio hio.Sijui tunaweza pata ka screenshots tujifunze kwa maandishi
Same issue niko nayo kwa tecno spark 3 pro, nadhani ni issue za security kwa sababu nikijaribu kubypass kwa keyboard hainipi zile options zinazo takiwa.Au kama kuna anaejua sofware ya kutoa frp kwenye hizi latest mtk msaada tutaniIna android version ya ngapi,?
Uli update security patches?