msaada!Jinsi ya kutoa tatto iliyochorwa na sindano!

cuchi

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
218
Reaction score
74
Habari wana jamii!Nahitaj msaada kwa wale wanaojua jinsi ya kutoa tatto,nina mdogo wangu wa kike 17,asubh naona anatembea kainama na kafunika bega la kushoto nimemchunguza vzr ana tatto kasema kachora jana inatoa majimaji,imevimba na inamuuma sana!Nataman kumpiga ila nashindwa hii hali inanitia wasiwasi nafanyaje na nini madhara!msaada jaman
 
Tatoo kutoa majimaji ndo kupona, na wino ndo ulikuwa unamalizia kazi yake. Kwa upande wa madhara inategemeana na aina ya wino aliotumia.
 
Tatoo kutoa majimaji ndo kupona, na wino ndo ulikuwa unamalizia kazi yake. Kwa upande wa madhara inategemeana na aina ya wino aliotumia.
 
Kasema anataka kuifuta au ni wewe unataka unataka kufanya maamuzi juu ya maisha yake aliyochagua?!

Sent from BlackBerry
 
mwana jf ameomba msaada kuondoa tatoo mwilini,kama kichwa cha habari kinavyojielezea.mwenye kujua wamsaidie.
 

mimi binafsi sijawahi kusikia kama kuna madhara yoyote kiafya yanayotokana na uchoraji wa tatoo ila mbele za Mungu ni machukizo (dhambi) kwani ametuonya tusijiwekee alama yoyote ktk miili yetu, kuhusi kuvimba na kutoa majimaji ni hali ya kawaida kama jeraha lingine lolote kwani baada ya siku chache litapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…