MSAADA: Jinsi ya kutuma maombi ya Ajira Bugando Medical Centre, March 2025

MSAADA: Jinsi ya kutuma maombi ya Ajira Bugando Medical Centre, March 2025

kacherema

Senior Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
124
Reaction score
60
Juzi tarehe 06 march 2025, Bugando medical centre walitangaza nafasi za ajira kwa kada mbali mbali za afya ila tangazo halikuainisha maombi yatumwe kwa njia gani yani mfano kwa online portal,Email au kwa kupeleka barua posta. Nikiingia Career portal yao haifanyi kazi ni kama dead link.

Kwa anayejua anisaidie kujua haya maombi yanatumwa kwa njia gani? Nimeambatanisha tangazo husika.
 

Attachments

Mkuu una option mbilu,Peleka posta kwa EMS au mtu akupelekee Bugando.

Fanya maamuzi haraka muda umeisha huo.
 
Back
Top Bottom