Msaada jinsi ya kutumia EFD machine Incotex 181

mach0

Member
Joined
Aug 7, 2018
Posts
24
Reaction score
13
Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili.

Natangulza shukrani
 
Ina chaji ya kutosha? Kama inayo na bado inazingua rudi kwa wakala aliekuuzia ukapate msaada wa kiufundi na maelezo zaidi
Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili.

Natangulza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…