M mach0 Member Joined Aug 7, 2018 Posts 24 Reaction score 13 Mar 5, 2019 #1 Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili. Natangulza shukrani
Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili. Natangulza shukrani
Afrolink-Tz Consult Ltd JF-Expert Member Joined Feb 25, 2018 Posts 424 Reaction score 950 Mar 5, 2019 #2 Ina chaji ya kutosha? Kama inayo na bado inazingua rudi kwa wakala aliekuuzia ukapate msaada wa kiufundi na maelezo zaidi mach0 said: Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili. Natangulza shukrani Click to expand...
Ina chaji ya kutosha? Kama inayo na bado inazingua rudi kwa wakala aliekuuzia ukapate msaada wa kiufundi na maelezo zaidi mach0 said: Habarin wana jamvi. Niko na EFD Machine lakini kila nikiwasha inaprint Power Fault na haiendelei popote msaada kutatua tatizo hili. Natangulza shukrani Click to expand...