Msaada:jinsi ya kutumia ethernet

nhonga

Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
12
Reaction score
2
Msaada:jinsi ya kutumia ethernet.
njia zipi unaweza kuzitumia iwapo ethernet cable inashindwa kusoma kwenye computer?
 
Japo umekwenda jukwaa tofauti, ila kwa mimi, nafikiri unaweza kutumia USB modem, ambazo nyingi huwa zinakuja na drivers zinazohitajika kukupa connection. Vile Ethernet imegoma, ni kwamba hiyo ni computer mpya, au umeweka OS mpya, so inamaana hakuna network drivers. Ambazo unaweza kuzipata kirahisi kwenye internet, kwa kuingia kwenye website ya mtengenezaje wa computer yako au kama una cd ya driver iliyokuja na computer unaziweka tena. Kama hauna, tumia computer ya jirani kuzidownload, then install kupitia USB flash drive the network itakubali.
 
Shukrani sana boss kwa maelezo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…