Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Habari ni majanga kidogo nimepata kwa sasa sina simu ya smart na whasapp ya pc inataka uscan je nijinsi gani nitaweza kuitumia kwa kusajili namba moja kwa moja.
Ahsante
Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida hata kama itachukua 1TMaumivu yake kwenye bando utaniambia mm nilikua natumia GB moja au zaidi kwenye PC nikaona nibwage tu nirudi kwenye simu. Pakua blue stack iayowatsapp utasajiri namba kawaida
Habari ni majanga kidogo nimepata kwa sasa sina simu ya smart na whasapp ya pc inataka uscan je nijinsi gani nitaweza kuitumia kwa kusajili namba moja kwa moja.
Ahsante
chakushangaza memu imekataa ila nox imekubali ila ina gomagoma sometime