Habari ni majanga kidogo nimepata kwa sasa sina simu ya smart na whasapp ya pc inataka uscan je nijinsi gani nitaweza kuitumia kwa kusajili namba moja kwa moja.
Maumivu yake kwenye bando utaniambia mm nilikua natumia GB moja au zaidi kwenye PC nikaona nibwage tu nirudi kwenye simu. Pakua blue stack iayowatsapp utasajiri namba kawaida
Maumivu yake kwenye bando utaniambia mm nilikua natumia GB moja au zaidi kwenye PC nikaona nibwage tu nirudi kwenye simu. Pakua blue stack iayowatsapp utasajiri namba kawaida
Habari ni majanga kidogo nimepata kwa sasa sina simu ya smart na whasapp ya pc inataka uscan je nijinsi gani nitaweza kuitumia kwa kusajili namba moja kwa moja.