Msaada jinsi ya kuupata wimbo huu wa zamani (zilipendwa)

Msaada jinsi ya kuupata wimbo huu wa zamani (zilipendwa)

Darucha

Senior Member
Joined
Dec 28, 2020
Posts
111
Reaction score
211
Jamani natafuta huu wimbo muda mrefu Bila mafanikio sijui jina lake staili ya uimbaji ni kama ya magic system au papa Wemba ile nyimbo kama sio mkongo aliyeimba Basi ni watu kutokana West Africa au central Africa hii nyimbo inaimbwa kwa mtindo huu naandika Kiswahili.

"Kiberenge kinaokoaaaa
"Kiberenge kinaokoaaaa"
"Kiberenge kinaokoaa

Nimeandika Kiswahili lakini nafikiri hawaimbi Kiswahili mwanzoni unaanza na kabiti kanaanza vizuri sana kama wewe ni mfuatiriaji wa nyimbo za zamani utajua namaanisha wimbo gani
 
Mkuu Kuna nyimbo naiwaza Anyway hata Kama si yenyewe ngoja niiweke tu but somehow inasound Kama ulivyoandika ila hiyo kiberenge ni jina langu mkuu..🤣🤣

 
Mkuu Kuna nyimbo naiwaza Anyway hata Kama si yenyewe ngoja niiweke tu but somehow inasound Kama ulivyoandika ila hiyo kiberenge ni jina langu mkuu..🤣🤣


Mkuu Kuna nyimbo naiwaza Anyway hata Kama si yenyewe ngoja niiweke tu but somehow inasound Kama ulivyoandika ila hiyo kiberenge ni jina langu mkuu..🤣🤣
 
Kaka, Mungu akubariki Sana nimeitafuta Sana hii ngoma kweli nimeamni kwenye miti hapakosi wajenzi Mimi nilitafsiri kwa kiswahili mkuu sorry kwa kutuma jina lako mkuu
 
Kaka mungu akubariki Sana nimeitafuta Sana hii ngoma kweli nimeamni kwenye miti hapakosi wajenzi Mimi nilitafsiri kwa kiswahili mkuu sorry kwa kutuma jina lako mkuu
Ha ha! Okay hao ndo in Africa band wananyimbo nzuri huyo unaemsikia anaanza kuimba ndo yule anaitwa bizman alieimba ametoroshwa na ile ngoma mademu wa bongo.
 
Ha ha! Okay hao ndo in Africa band wananyimbo nzuri huyo unaemsikia anaanza kuimba ndo yule anaitwa bizman alieimba ametoroshwa na ile ngoma mademu wa bongo.
Daah huwezi kuamini mkuu Kuna idea ilikuwa inanijia kuwa huyu ni bizman naingia YouTube naandika bizman kiberenge nyimbo haiji zinakuja nyingine za bizman nikajua labda sio bongo wameimba nikaanza wasanii ambao kidogo wanaendana sauti kidogo na walioimba hii nyimbo nikasema labda papa Wemba au wale magic system wa Cameroon lakini wapi sipati kilichonicost nilikuwa naandika jina la nyimbo kiberenge alafu nilikuwa najua sio wabongo Sasa Leo nilivyoidownloaad nakutafuta wanataja kasulu kigoma kumbe no mwanangu bizzman kaimba daah Asante Sana mkuu
 
Daah huwezi kuamini mkuu Kuna idea ilikuwa inanijia kuwa huyu ni bizman naingia YouTube naandika bizman kiberenge nyimbo haiji zinakuja nyingine za bizman nikajua labda sio bongo wameimba nikaanza wasanii ambao kidogo wanaendana sauti kidogo na walioimba hii nyimbo nikasema labda papa Wemba au wale magic system wa Cameroon lakini wapi sipati kilichonicost nilikuwa naandika jina la nyimbo kiberenge alafu nilikuwa najua sio wabongo Sasa Leo nilivyoidownloaad nakutafuta wanataja kasulu kigoma kumbe no mwanangu bizzman kaimba daah Asante Sana mkuu
We unaafazali mkuu wengine tunatafutaga nyimbo za kihindi hujui msanii wala muvi husika unajua inavosaundi tu na majina hayo ya kihindi sasa..🤣 lkn huwa napambana mpk naipata!
 
Humu JF ni kiwanda kikubwa cha nyimbo humu zipo nyimbo nyingi sana unakuta zinawekwa halafu mtu haandiki jina so search engine inakuwa haileti majibu ila kitu kumbe kipo.
 
Mkuu Kuna nyimbo naiwaza Anyway hata Kama si yenyewe ngoja niiweke tu but somehow inasound Kama ulivyoandika ila hiyo kiberenge ni jina langu mkuu..🤣🤣


Nisaidieni namna ya kupata nyimbo za Mob house nafikili ni funk ni miaka natafta lakini sijafanikiwa
 
Back
Top Bottom