Msaada:jinsi ya kuwa mpelelezi wa taifa


hebu nipe maujanja basi na mimi niingie huku ni pm mkuu nahitaji kuingia huko!
 
hebu nipe maujanja basi na mimi niingie huku ni pm mkuu nahitaji kuingia huko!

Ukweli huchunguzwa kuanzia ngazi ya primary school hadi sec kwa nyendo zako IQ yako maisha ya familia nk ndipo wakikuafik unakuwa trained!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…