mpushi JF-Expert Member Joined Nov 14, 2011 Posts 280 Reaction score 77 Jul 4, 2014 #1 Naomba msaada wa yoyote anaeweza kunisaidia msaada wa join instruction ya Dakawa secondary school kwa Form 5, au gharama halisi zinazotakiwa. Asanteni
Naomba msaada wa yoyote anaeweza kunisaidia msaada wa join instruction ya Dakawa secondary school kwa Form 5, au gharama halisi zinazotakiwa. Asanteni
Obama wa kigamboni Member Joined Feb 12, 2015 Posts 26 Reaction score 9 Jul 24, 2015 #2 Mkuu naomba unisaidie na mm namba ya mwanafunz yyt anaesoma dakawa sec kwa sasa Nina mdogo wangu kachaguliwa ila tatzo mawasiliano imekuwa shida sn,,,ni PM km yupo anaesoma hapo,nitashukur sn
Mkuu naomba unisaidie na mm namba ya mwanafunz yyt anaesoma dakawa sec kwa sasa Nina mdogo wangu kachaguliwa ila tatzo mawasiliano imekuwa shida sn,,,ni PM km yupo anaesoma hapo,nitashukur sn
F Fundi ndege Member Joined Jul 15, 2014 Posts 14 Reaction score 0 Jul 25, 2015 #3 Mwenye kujua awasaidie
K kindondindo JF-Expert Member Joined Jul 8, 2013 Posts 503 Reaction score 149 Jul 25, 2015 #4 0756447226 jaribu hiyo ni mwalimu wa dakawa tc ni majirani
K kalichumbage Senior Member Joined Jul 5, 2015 Posts 101 Reaction score 41 Jul 25, 2015 #6 Ushaur kawaida shule zote kidato cha tano usihangaike kupata join bali nenda napesa yako kama laki nne hivi coz kila kitu hupatikana shuleni mpaka sare
Ushaur kawaida shule zote kidato cha tano usihangaike kupata join bali nenda napesa yako kama laki nne hivi coz kila kitu hupatikana shuleni mpaka sare
K kindondindo JF-Expert Member Joined Jul 8, 2013 Posts 503 Reaction score 149 Jul 27, 2015 #7 Fundi ndege said: No. ya mjomba nn Click to expand... prof mlutila
R rangel Senior Member Joined May 26, 2014 Posts 110 Reaction score 21 Jul 28, 2015 #8 hivi ticha kasembe na madam kanuti sijui bado wapo pale... kitamboo